TWIGA STARS HOI ZIMBABWE July 07, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake 'Twiga Stars' imeshindwa kuingia fainali ya michuano ya kombe la COSAFA baada ya kutolewa na wenyeji Zimbabwe kwenye Uwanja wa Rufaro kwa mikweaju ya penalti 4-2 baada ya dakika 90 kumalizika kwa suluhu. Comments
Comments
Post a Comment