TBL YAZING'ARISHA SIMBA, YANGA


KAMPUNI ya bia Tanzania (TBL) imezikabidhi vifaa vya michezo timu za Simba na yanga kwa ajili ya msimu mopya wa Ligi Kuu TYanzania Bara unaotarajiwa kuanza Agostiu 20.,
Vifaa hivyo vina thamani ya shilingi milioni 70.

Comments