Mshambuliaji wa timu ya shule ya sekondari ya Goba, Hamisi Bundala (katikati) akikabiliana
na mabeki wa timu Msongola, Hamisi Fungura (kushoto) na Arabi Yakub, wakati wa mchezo wa robo fainali ya ligi ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars,
uliofanyika katika uwanja wa Karume, Dar es Salaam, jana. Mshambuliaji wa timu ya shule ya sekondari ya Goba,Pascal Mapunda akijaribu kumiliki mpira
katika lango la timu ya soka ya Msongola Boniface Joseph wakati wa mchezo wa robo fainali ya ligi ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars, uliofanyika katika uwanja
wa Karume, Dar es Salaam, juzi.
Mshambuliaji wa timu ya shule ya sekondari ya Msongola, Hussein Hamza akiwatoka walinzi wa
Goba wakati wa wa mchezo wa robo fainali ya ligi ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars, uliofanyika katika uwanja wa Karume, Dar es Salaam, jana.
Mshambuliaji wa timu ya shule ya sekondari ya Msongola Mohamed Hamisi akiwachambua mabeki wa
Goba wakati wa mchezo wa robo fainali ya ligi ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 ya Airtel
Rising Stars, uliofanyika katika uwanja wa Karume, Dar es30 Salaam, jana.
Comments
Post a Comment