MAMBO YA REDD'S MISS TEMEKE YAZIDI KUPAMBA MOTO July 07, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps BAADHI ya warembo wanaowania taji la Redds Miss Temeke 2011 linalotarajiwa kufanyika Julai 16 mwaka huu katika ukumbi wa TCC Chango'mbe wakiwa kwenye mazoezi ya shoo ya ufunguzi kwenye kambi ya mazoezi yao Dar es Salaam, jana. Comments
Comments
Post a Comment