ZATINGA ROBO FAINALI KILI TAIFA CUP 2011

TIMU za mikoa ya Arusha, Mbeya, Mwanza, Singida, Ilala, Ruvuma, Lindi na ile ya vijana chini ya miaka 23 zinmefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika michuano ya kuwania kombe la Taifa 'kili Taifa Cup' 2011.

Comments