YANGA YATETA NA CHUJI, SHAMTE ALLY

ATHUMAN IDD 'CHUJI'
LICHA ya kudaiwa kutaka kuwatema baadhi ya nyota wake, mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara Yanga imeanza mazungumzo kwa ajuili ya kuwaongeza mikata wachezaji wake Athuman Idd Chuji na Shamte Ally.
Mikataba ya wachezaji hao ambao walishindwa kuitumikia kwa kiwango kinachostahili klabu hiyo katika msimu uliomalizika ilishamalizika, hivyo kama mambo yatakwenda vema watabaki kuvaa uzi wa njano na kijani

Comments