TAIFA STARS YALALA BAO 1-0 KWA BAFANABAFANA May 14, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps TIMU ya soka ya Taifa 'taifa stars' imeshindwa kufurukuta dhidi ya timu ya taifa ya Afrika Kusini 'Bafana bafana'baada ya kufungwa bao 1-0 kupitia mechi ya kimtaiafa ya kirafiki iliyopigwa leo kwenye uwanja wa taifa,jijini dar es salaam. Comments
Comments
Post a Comment