MAKAMU WA RAIS DK.BILAL AHUDHURIA MAZISHI YA SHEIKH YAHAYA LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akiondoka nyumbani kwa marehemu Sheikh Yahya Husein, baada ya kuhudhuria shughuli za mazishi leo Mei 21, Magomeni Mwembechai Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kushoto) akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuomba dua maalum kwa ajili ya marehemu Sheikh Yahya Husein, aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam jana,dua hiyo ilifanyika nyumbani kwa marehemu Magomeni Mwembechai leo Mei 21. Maziko yatafanyika kwenye makaburi ya Tambaza leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimjulia hali mjane wa marehemu Sheikh Yahya, Kate Yahya, wakati alipofika nyumbani kwake Magomeni Mwembechai leo Mei 21 kuhudhuria shughuli za mazishi.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kushoto) akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuomba dua maalum kwa ajili ya marehemu Sheikh Yahya Husein, aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam jana,dua hiyo ilifanyika nyumbani kwa marehemu Magomeni Mwembechai leo Mei 21. Maziko yatafanyika kwenye makaburi ya Tambaza leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadiki (kulia) pamoja na baadhi ya viongozi,  wakiwa kwenye shughuli ya mazishi wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Sheikh Yahya, aliyefariki dunia jana jijini na anatarajia kuzikwa leo kwenye makaburi ya Tambaza. Picha zote na Muhidin Sufiani-OMR

Comments