Bondia Mbwana Matumla (kulia) akipambana na Yohana Robart wakati wa mazoezi ya kujipima nguvu yaliyofanyika katika ukumbi wa Amana CCM(Picha Mpiga Picha Wetu)
Bondia Mohamed Matumla (kULIA) akimrushia ngumi Fredy Sayuni wakati wa mpambano wa kujipima nguvu uliofanyika Amana CCM juzi.(Picha Mpiga Picha Wetu)
MCHEZO HUU MZURI, LAKINI BADO SANA TANZANIA
ReplyDelete