YANGA YAITA WANAOTAKA KWENDA KUSHIRIKI TAMASHA LA PASAKA ZANZIBAR
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
KLABU ya yanga imewataka wale wataokwenda kwenye sherehe za sikukuu ya Pasaka visiwani Zanzibar kufika makao makuu ya klabu hiyo ili kujiandikisha majina yao sambamba na kupata taratibu nyingine kuhusiana na ziara hiyo.
Comments
Post a Comment