SIMBA KUKALIA KITI CHA VPL LEO?


MABINGWA wa ligi kuu leo wanashuka katika dimba la Jamhuri mjini Dodoma kukwaana na maafande wa huko timu ya Polisi katika mechi ya ligi kuu ya Vodacom.

Simba yenye pointi 30 iwapo itashinda mechi ya leo itaongoza ligi hiyo, hivyo kuwashusha mahasimu wao Yanga.

Comments