SAM TIMBE AANZA KUINOA YANGA February 08, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps KOCHA Mpya wa Yanga Sam Timbe kutoka nchini Uganda jana ameanza rasmi kuinoa timu hiyo ambayo ipo katika aandalizi ya mechi yake ya marudiano ya kombe la shirikisho la Sojka barani Afrik (CAF) dhidi ya Dedebit ya Ethiopia wekeend hii. Comments
Comments
Post a Comment