SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mechi baina ya Stars na Palestina kwa kuweka kiingilio cha chini cha sh.1,000 kwa watakaokaa viti vya kijani.
Aidha, watakaokaa VIP A watalipa sh.10,000, VIP B watalipa sh.7,000, VIP C watalipa sh.5,000, VITI vya ORANGE watalipa sh.3,000 na KIJANI watalipa sh.2,000.
Comments
Post a Comment