JOSEPH OWINO KUTUA DAR JUMAMOSI February 02, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps BEKI wa kimataifa wa timu ya Simba Josph Owino anatarajia kuwasili nchini jumamosi ijayo akitokea kwao nchini Uganda.Owino ambaye alikuwa anakabiliwa na maumivu ya goti ameshapona na ameruhusiwa kuanza mazoezi na daktari wake. Comments
Comments
Post a Comment