STARS YAAGA NILE BASIN January 11, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps TIMU ya soka ya Tanzania Taifa Stars imeaga michuano ya Nile Basin baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Uganda.Awali timu hiyo ilianza micjhuano hiyo kwa kuchapwa mabao 5-1 na wenyeji Misri kabla ya kutoka sare ya bao 1-1 na Burundi. Comments
Comments
Post a Comment