SHIBOLI NJE YA DIMBA MWEZI MZIMA December 10, 2010 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps MSHAMBULIAJI mpya wa timu ya Simba Ali Ahmed Shiboli atakaa nje ya uwanja kwa mwezi mmoja kutokana na kuumia nyonga alipokuwa akifanya mazoezi na timu yake ya Taifa, Zanzibar Heroos mapema wiki hii. Comments
Comments
Post a Comment