AY KUPAGAWASHA BILICANAS JUMAPILI HII

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Ambwenye Yessaya amerejea nchini mapema wiki baada ya kuwa nchini Uganda akirekodi wimbo wake aliomshirikisha mwanadada kutoka visiwa vya Trinidad & Tobago Ms Trinity, jumapili hii atakamua katika klabu ya kimataifa ya Afrika Mashariki na Kati Bilicanas kupitia usiku wa 'Bongo Starz Nite'MSIKOSE

Comments