UNIQUE ENTERTAINMENT YASAKA MODELS

Kampuni ya Unique Entertainment inatarajia kufanya show bab-kubwa ya mitindo nchini Tanzania iitwayo Giraffe unique model 2010 itakayojumisha shindano la wanamitindo kumi bora wa kike ambapo vigezo vya wanamitindo hao vitatajwa hivi karibuni.

Lengo la shindano hili ni kuinua sanaa ya mitindo nchini Tanzania ambapo inaweza kutoa ajira kwa vijana kama kazi zingine kwa muda wote,hii ni tofauti sana na mashindano mengine kwani washiriki wote kumi watakuwa na nafasi ya kuwajibika katika jamii na binafsi kwa kumuingizia kipato mwanamitindo tofauti na mashindano mengine kwa mwaka mzima.
ITADHAMINIWA Na : Graffe ocen view hotel,Tanga beach resort hotel, Truworths,uniqueentertz blog na wadhamini wengine wataendelea kutajwa. STAY TUNED.
kwa habari zaidi tembelea http://www.uniqueenterz.blogspot.com/

Comments

  1. Ajira nyingine hiyo kwa wanamitindo...safi kabisa..nitashangaa ikiwekwa kama `ahadi za vyama..

    ReplyDelete

Post a Comment