HUU NDIO MKOKO ATAKAOTWAA VODACOM MISS TZ 2010, UNA THAMANI YA MILIONI 12







Kampuni ya Vidacom Tanzania imetangaza zawadi za washindi wa shindano la kumsaka mrembo lililopangwa kufanyika Septemba 11, ndani ya ukumbi Mlimani City.Mshindi wa 1 atapata gari aina Hyundai i10 lenye thamani ya ya milioni 12 na kitita cha sh. milioni 10, Mshindi wa pili atapata shilingi mil 6 .2, wa tatu atapata milioni 4 na mshindi wa nne atazawadiwa shilingi milioni 3 na watatu atapata shilingi milioni 2.4 wakati mshindi wa sita hadi wa 10 kila mmoja atapata shilingi mioni 1.4 watakaobaki watapata kifuta jasho cha sh 700,000 kila mmoja.


Comments

  1. Halafu baada ya mashindano zianze kashfa tofauti miss kafanya hivi, miss kafanya vile

    ReplyDelete

Post a Comment