Mgombea Mwenza wa Urais Kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Tabora mjini, Aden Ismail Rage, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwrnye Uwanja wa Shule ya Sekondari Uyui jana.
Mgombea mwenza wa Urais kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Tabora mjini wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekonda Uyui jana.
3Mgombea mwenza wa Urais kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Ndala mkoani Tabora wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kijijini hapo jana kabla ya kuingia Tabora mjini.
KWA HISANI YA SUFIANI MAFOTO
Comments
Post a Comment