WASHIRIKI VODACOM MISS TANZANIA WAGAWA VYANDARUA MOSHI

Baadhi ya warembo wanaoshiriki mashindano ya Vodacom miss Tanzania 2010 wakimpatia chandarua ya kujizuia na mbu Herieth masawe ambae amelazwa hospitani hapo ikiwa ni kauli mbiu ya malaria haikubaliki.


Baadhi ya warembo wanaoshiriki mashindano ya Vodacom miss Tanzania 2010 wakiwapatia watoto mbalimbali wanaishi maeneo ya Hospitali ya Marangu mara walipotembelea hospitalini hapo kwa thumuni la kuendeleza na kutekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya malaria haikubaliki.


Katibu wa hospital ya Marangu, Godrick Njau akikapokea vyandarua toka kwa Mkurugenzi wa Vodacom kanda ya kaskazini Nguvu Kamando mara baada ya kutembelea hospitalini hapo wakiwa wameambatana na warembo wanaoshiriki mashindano ya Vodacom miss Tanzania.

Comments