LICHA ya aliyekuwa mwenyekiti wa Yanga Iman Madega kujitapa kwamba hakuna anayeweza kumg'oa madarakani leo imeshindikana baada ya wanachama wa klabu hiyo kumg'oa pamoja na viongozi wenzake.
Hatua hiyo inashabihiana na ushauri wa mdhamini wa klabu hiyo, Yusuf Mahboob Manji kuutaka uongozi huo kufuata katiba kwa kupisha wengine kuongoza klabu hiyo.
Kama hiyo haitoshi katika mchakato wa marekebisho ya katiba ilibainika katiba hiyo kuchezewa kwa kuondoshwa ama kubadilishwa baadhi ya vipengele bila ridhaa ya wanachama wa klabu hiyo.
wanachama
wanachama wakijiandisha tayari kwa mkutano
madega akijibu hoja
akipoza koo na maji
makamu wa pili wa rais wa TFF, Athumana Nyamlani akitoa ufafanuzi
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya TFF, Alex Mgongolwa
mmoja wa wanachama, Kanali mstaafu Ali Mwanakatwe
Yusuf Mzimba, mmoja ya wanachama nguli wa Yanga
Wanachama
wanachama
Comments
Post a Comment