KATIBU WA SIMBA, EVODIUS MTAWALA
KLABU ya simba imemwajiri kama Katibu Evodius Mtawala , ambapo katika kipindi cha uangalizi wa miezi mitatu atatumika kama Ofisa tawala wa klabu hiyo.
MWENYEKITI WA SIMBA, ISMAIL ADEN RAGE AKIMKABIDHI MTAWALA KATIBA YA KLABU HIYO
Mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage alisema pia kamati ya utendaji imemteua mwanachama maarufu wa klabu hiyo Dioniz Malinz pamoja na Hamis Kilomoni, Ramesh Patel, Abas Sykes na Abdul Wahid 'Maziwa' kuwa wajumbe wa baraza la udhamini.
BAADHI YA WANAHABARI
SOFIA ASHERY WA GAZETI LA UHURU
jamani huyo mtendaji mbn anaonekana ni mdogo ataweza kweli kuhimili mikimik ya Simba au ndo kubebana, Maria
ReplyDeletehuyo dada aache umalaya ndo maana anaachwa ovyo
ReplyDeletearidhike na mmoja