MDHAMINI WA SASA WA YANGA YUSUF MANJI ALIYEWEZESHA KUPATIKANA KWA MDHAMINI MWENZA
Kwa mujibu wa barua ya Manji kwenda kwa mwenyekiti wa yanga Iman Madega, mdhamini huyo ataipatia dola milioni moja kila mwaka.
Yanga pamoja na mahasimu wao wa jadi Simba wanadhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) kupitia bila ya Kilimanjaro, huku pia kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania ikidhamini Ligi kuu bara ambayo Yanga pia inashiriki.
Comments
Post a Comment