WANENGUAJI WA KIKE
WANENGUAJI WA KIUME
MKURUGENZI WA EXTRA BONGO ALI CHOKI MBELE AKIWAONGOZA WENZAKE KATIKA ONYESHO LA UTAMBULISHO KWA WAANDISHI WA HABARI KABLA YA UZINDUZI RASMI UTAKAOFANYIKA MEI 28
MKURUGENZI WA KAMPUNI YA ABAMA INC AHMED MAGOMA AKIMKABIDHI CHOKI HUNDI YA MILIONI TANO KWA AJILI YA KUFANIKISHA UZINDUZI WAO UTAKAOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MSASANI CLUB MEI 28
DOUGLAS SAGAWALA MSEMAJI WA BENDI
Tunapenda sana kukupongeza kwa kuweza kuutengeneza huu ukurasa, tunakutakia kila la kheri na utuwezeshe sisi wasomaji wako kupata habari mbalimbali za kimichezo na burudani nyingine mungu akubariki kwa kazi yako hii nzuri
ReplyDeleteAsanteni sana kwa kunikubali, mcjali nitaendelea kuwapa mambo kemkem
ReplyDeletedada unajua wewe ni mzuri ndo maana ukawa na mume na watoto hongera na watoto wako nimewaona wazuri, hongeraaaaaaaa
ReplyDelete