MABINGWA wa ligi kuu soka ya Vodacom msimu wa 2009/2010, Simba waliendeleza furaha yao ya kutwaa ubingwa mapema kabla ya kumalizika kwa ligi hiyo walipowatungua watani wao wa jadi, Yanga kwa mabao 4-3, mchezo uliopigwa jumapili ya Oktoba 18 katika uwanja wa Taifa ambapo siku hiyo pia Simba ilikabidhiwa kombe.
Nahodha wa Simba, Nico Nyagawa akipokea kombe la ubingwa
kinara wa Simba, Musa Mgosi baada ya mchezo
Kocha msaidizi wa Simba, Amri Said
kikosi cha Simba
mashabiki wa Simba
Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalai 'Field Marshal' akitokwa na chozi la furaha
Kocha wa yanga, Kostadin Papic
kikosi cha Yanga
Comments
Post a Comment