Tamasha la waandishi kutoka vyombo mbalimbali lilifanyika desemba 5 katika ufukwe msasani club ambapo kulikuwa na michezo mbalimbali sambamba na burudani toka kwa bendi ya msondo ngoma
mama happy Katabazi akiserebyka na kassim mbarouk
Khadija, Dina na Juma Kasesa mwandishi mwenzetu wa michezo wa tanzania Daima na Sayari
Khadija na mimi
mwenyewe nimepozi
mimi na rafiki yangu wa siku nyingi, Fred Halla
baadhi ya wanahabari wakiserebuka
wanamuziki wa msondo wakitumbuiza
Comments
Post a Comment