media day 2009 huko Msasani beach club

Tamasha la waandishi kutoka vyombo mbalimbali lilifanyika desemba 5 katika ufukwe msasani club ambapo kulikuwa na michezo mbalimbali sambamba na burudani toka kwa bendi ya msondo ngoma

mama happy Katabazi akiserebyka na kassim mbarouk

Khadija, Dina na Juma Kasesa mwandishi mwenzetu wa michezo wa tanzania Daima na Sayari






                                                                          Khadija na mimi



mwenyewe nimepozi


                                                            mimi na rafiki yangu wa siku nyingi, Fred Halla

                                                          baadhi ya wanahabari wakiserebuka
                                                      wanamuziki wa msondo wakitumbuiza

Comments