KLABU ya Simba imemrejesha kundini nahodha wake wa zamani Nico Menard Nyagawa (pichani)ambaye atakuwa
meneja ndani ya timu hiyo hiyo.Sports Lady Blog inakujuza.
Awali
Nyagawa ambaye baada ya kustaafu alikuwa akitumika katika nafasi hiyo kabla ya
kuondolewa ‘kimizengwe’ na nafasi kuchukuliwa na kocha Moses Basena.
Taarifa
zinaeleza kwamba, Basena pamoja na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ watakuwa wakimsaidia
kocha mkuu Abdallah ‘king’ Kibaden katika kukinoa kikosi cha timu hiyo.
Simba
inaendelea na mazoezi yake katika uwanja wa Kinesi kwa ajili ya kujiandaa na
michuano mbalimbali pamoja na Ligi Kuu Bara.
Comments
Post a Comment