KOCHA mkuu wa Yanga Ernie
Brandts (pichani) ametua nchini jana usiku na kesho anatarajiwa kuanza kukinoa kikosi hicho
kinachojiandaa na michuano ya Kagame.
Yanga ambao ni mabingwa
watetezi wa michuano hiyo, walianza mazozi mapema wiki hii kwenye uwanja wa
Shule ya Sekondari Loyola chini ya kocha msaidizi Fred Felix Minziro.
Comments
Post a Comment