Waombolezaji Ndugu,Jamaa marafiki wakipita mbele ya mwili wa marehemu Albert Mangwea wakati wa kuaga mwili wa marehemu huyo kwenye viwanja vya Leaders leo asubuhi jijini Dar es salaam, ambapo masabiki wake lukuki pamoja na wasanii wenzake wamehudhuri kwa ajili ya kumuaga mpendwa wao, mwili wa Marehemu Albert Mangwea umesafirishwa leo kwenda mkoani Morogoro ambako ndiko atazikwa.(NA FULLSHANGWE BLOG)Kamati ya maadalizi ikitoa shukurani mbele ya waombolezaji wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea leo kwenye viwanja vya Leaders.Wanakamati wakijiandaa kupanda jukwaani kwa ajili ya kitoa shukurani zao kutokana na ushirikiano walioupata katika kipindi hiki kigumu.Umati wa mashabiki wa muziki ukisubiri kwenda kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwe leo.Msanii Profesa J. wa tatu kutoka kushoto akiwana ndugu wa Albert Mangwea katika miba huo. Mwanamuziki Lady Jay Dee akiwa na wasanii wengine katika msiba huo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea.Steve Nyerere kulia na Hatman Mbilinyi waliokaa wamejumuika katika kumuaga msanii Albert MangweaMdau Bhoke Wambura kushoto akijadili jambo na rafiki yake Dokii pamoja na rafiki yao Aisia wakishiriki katika msiba wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea kwenye viwanja wa Leaders leo kabla ya kuondoka kuelekea Mkoani Morogoro kwa mazishiWatu wengi wameuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea kama wanavyoonekana kwenye picha.Ndugu wa karibu wa marehemu Albert Mangwea wakiwana majonzi makubwaNdugu wa karibu wa marehemu Albert Mangwea wakiwana majonzi makubwaWasanii wa muziki wa kizazi kipya wakiwa katika msiba huo huku wakiwa na masikitiko makubwa.Waigizaji wa filamu nao wamejumuika na wenzao pamoja katika msiba huoIlikuwa ni majozi na ukimya tuSaid Bonge wa Clouds wa pili kutoka kushoto akiwa pamoja na waombolezaji wengine wakiwemo wanausalamaSteve Nyerere kulia na Hatman Mbilinyi waliokaa wamejumuika katika kumuaga msanii Albert Mangwea
Waombolezaji Ndugu,Jamaa marafiki wakipita mbele ya mwili wa marehemu Albert Mangwea wakati wa kuaga mwili wa marehemu huyo kwenye viwanja vya Leaders leo asubuhi jijini Dar es salaam, ambapo masabiki wake lukuki pamoja na wasanii wenzake wamehudhuri kwa ajili ya kumuaga mpendwa wao, mwili wa Marehemu Albert Mangwea umesafirishwa leo kwenda mkoani Morogoro ambako ndiko atazikwa.(NA FULLSHANGWE BLOG)Kamati ya maadalizi ikitoa shukurani mbele ya waombolezaji wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea leo kwenye viwanja vya Leaders.Wanakamati wakijiandaa kupanda jukwaani kwa ajili ya kitoa shukurani zao kutokana na ushirikiano walioupata katika kipindi hiki kigumu.Umati wa mashabiki wa muziki ukisubiri kwenda kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwe leo.Msanii Profesa J. wa tatu kutoka kushoto akiwana ndugu wa Albert Mangwea katika miba huo. Mwanamuziki Lady Jay Dee akiwa na wasanii wengine katika msiba huo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea.Steve Nyerere kulia na Hatman Mbilinyi waliokaa wamejumuika katika kumuaga msanii Albert MangweaMdau Bhoke Wambura kushoto akijadili jambo na rafiki yake Dokii pamoja na rafiki yao Aisia wakishiriki katika msiba wakati wa kuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea kwenye viwanja wa Leaders leo kabla ya kuondoka kuelekea Mkoani Morogoro kwa mazishiWatu wengi wameuaga mwili wa marehemu Albert Mangwea kama wanavyoonekana kwenye picha.Ndugu wa karibu wa marehemu Albert Mangwea wakiwana majonzi makubwaNdugu wa karibu wa marehemu Albert Mangwea wakiwana majonzi makubwaWasanii wa muziki wa kizazi kipya wakiwa katika msiba huo huku wakiwa na masikitiko makubwa.Waigizaji wa filamu nao wamejumuika na wenzao pamoja katika msiba huoIlikuwa ni majozi na ukimya tuSaid Bonge wa Clouds wa pili kutoka kushoto akiwa pamoja na waombolezaji wengine wakiwemo wanausalamaSteve Nyerere kulia na Hatman Mbilinyi waliokaa wamejumuika katika kumuaga msanii Albert Mangwea
Comments
Post a Comment