MOYES ARITHI MIKOBA YA FERGUSON MAN U


Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes (pichani) atakuwa meneja mpya wa timu hiyo kuchukua nafasi ya Sir Alex Ferguson atakayestaafu mwishoni mwa msimu huu.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Old Trafford mchana wa leo, David Moyes amepewa mkataba wa miaka sita wa kuifundisha Manchester United kuanzia msimu ujao.
Taarifa zaidi zinafuata.
BBC SWAHILI

Comments