Mambo vipi watu wangu naomba mnipe tough tunichagua kama mwanamuziki wa ragga nimefanyikisha kuingiza ngoma yangu ya PUSH DEM kwenye kinywang'anyilo cha KILIMANJARO MUSIC AWARD , nipigie kura yako kwa kutumia simu ya mkononi andika BW4 kisha tuma kwenda namba 15345 utakuwa umeniwezesha kushinda tuzo hiyo ahsante tusisahau kula vyakula vya asili kama vile ugali wa mtama na matunda matuna pamoja na mboga za majani
one love wote
ngoma hii hapa ilioingia kwenye tuzo
https://www.youtube.com/watch? v=6hhDqECILnA
https://www.youtube.com/watch?
Comments
Post a Comment