Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania
inaendelea kesho (Machi 27 mwaka huu) kwa mechi mbili ambapo bingwa mtetezi
Simba atakuwa mgeni ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 3,000
unatarajiwa kushuhudia mechi yenyen ushindi kutokana na uwezo wa wachezaji wa
pande zote mbili.
Mechi nyingine itapigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex ulioko
Chamazi, Dar es Salaam
kati ya wenyeji Azam na Tanzania Prisons kutoka Mbeya.
Comments
Post a Comment