Kamati ya Utendaji ya Chama Cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam kwa mamlaka
iliyonayo imeteua kamati mbali mbali zitakazoshirikiana na Kamati ya Utendaji
katika kukabiliana na changamoto mbali mbali za mpira wa miguu katika Mkoa wake
ili kuweza kufikia malengo yake waliyojiwekea. Wafuatao ni watu na kamati mbali
mbali walioteuliwa/zilizoteuliwa na Kamati ya Utendaji ya Chama Cha Soka Mkoa
wa Dar es Salaam :
Joseph Kanakamfumo Mkurugenzi wa Ufundi
Saidi Pambalelo Afisa Tawala
Mohamedi Muharizo Afisa Habari
Hashim Abdallah Afisa Usalama
KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO
1. Meba
Ramadhani Mwenyekiti
2. Iddi
Msonga Makamu
Mwenyekiti
3. Ali
Hassani
4. Ramadhani
Kilemile
5. Isack
Mazwile
KAMATI YA UFUNDI NA MASHINDANO
1.Kenny
Mwaisabula Mwenyekiti
2. Shabani
Mohamedi Makamu Mwenyekiti
3. Hugo
Seseme
4.Daudi
Kanuti
5.Kassim
Mustapha
6.Abeid
Mziba
7.Bakari
Mtumwa
KAMATI YA MAENDELEO YA SOKA LA VIJANA NA WANAWAKE
1.Benny
Kisaka Mwenyekiti
2.Muhsin
Balhabou Makamu Mwenyekiti
3.Dr. Sesy
Makafu
4.Emmanuel
Kazimoto
5.Dr. Maneno Tamba
6.Edwin
Mloka
7.Sande
Mwanahewa
8.Richard
Shayo
KAMATI YA WAAMUZI
1.Jovin
Ndimbo Mwenyekiti
2.Sijali
Mzeru Makamu
Mwenyekiti
3.Saidi
Mbwana
4.Benny
Mtula
5. Abdallah
Mitole
KAMATI YA NIDHAMU NA USULUHISHI
1.Roman Masumbuko Mwenyekiti
2.Fahadi
Faraji Kayuga
Makamu Mwenyekiti
3. Mohamedi
Mpili
4.Peter
Nkwera
5. Jimmy
Mhango
KAMATI YA RUFAA
1. Salehe Njaa
Mwenyekiti
2. Saidi
Engo Makamu Mwenyekiti
3.Abasi
Kuka
4. Yusuph
Macho
5. Boi
Risasi
Pia Kamati ya Utendaji ya Chama Cha Mpira wa Miguu Mkoa wa
Dar es Salaam inapenda kuwafahamisha wanachama wake, wadau na mashabiki wa
mpira wa miguu Tanzania dhamira yao ya kuendeleza mpira wa miguu katika Mkoa wa
Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla.
Kwa kuanzia Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam
kipo kwenye mchakato wa kukamilisha DRFA Strategic Plan 2013 - 2016 (Mpango
Mkakati Kazi) kwa kipindi cha miaka minne pamoja na kuboresha Financial
Regulations zake ili kiweze kuwa na dira ya kuwahudumia wadau wake kwa ufanisi
na uwazi zaidi. Lakini pia Kamati ya Utendaji imeona haja ya Chama Cha Mpira wa
Miguu Mkoa wa Dar es Salaam
kuwa na Website yake kwa ajili ya kuwapa habari wadau wake na Watanzania kwa
ujumla.
Mwisho Kamati ya Utendaji ya Chama Cha Mpira wa Miguu Mkoa
wa Dar es Salaam kinaomba ushirikiano na wadau wote wa mpira hususani Serikali,
TFF, Vyama vya Mikoa, Walimu, Waamuzi, Madaktari, Vilabu, Makampuni na
Waandishi wa habari na Vyombo vya habari katika kuendeleza mpira wa miguu katika
mkoa wa Dar es Salaam na hatimaye mikoa yote ya Tanzania. “Kwani Pamoja
Tunaweza”
Ahsanteni,
Almasi Kasongo
Mwenyekiti wa Chama Cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA)
Comments
Post a Comment