NI NIGERIA BINGWA AFCON 2013



Winner: Sunday Mba is congratulated by Nigeria team-mates after firing the only goal of the game
Sunday Mba akipongezwa na wenzake kwa kufunga bao la ubingwa
No holds barred: Burkina Faso's Mady Panandetiguiri clashes with Nigeria keeper Vincent Enyeama
Mchezaji wa Burkina Faso, Mady Panandetiguiri akivaana na kipa wa Nigeria, Vincent Enyeama
Outnumbered: Nigeria's Victor Moses scraps for possession with Burkina Faso's Bakary Kone (centre), Mohamed Koffi (back) and Djakaridja Kone (right)
Mchezaji wa Nigeria, Victor Moses akipambana na ukuta Burkina Faso, Bakary Kone (katikati), Mohamed Koffi (nyuma) na Djakaridja Kone (kulia)

NIGERIA imetwaa ubingwa wa Afrika usiku huu, baada ya kuifunga Burkina Faso bao 1-0 katika fainali kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa FNB(Soccer City), Johannesburg, Afrika Kusini.
Shujaa wa Nigeria usiku wa leo alikuwa ni Sunday Mba aliyefunga bao hilo pekee la ushindi dakika ya 40, baada ya kutokea purukushani kwenye lango la Burkina Faso'
Hilo linakuwa taji la tatu la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Nigeria kihistoria, baada ya awali kutwaa taji hilo mwaka 1980 na 1994.
Zaidi ya hapo, Nigeria walishika nafasi ya tatu mwaka 2002, 2004, 2006  na 2010.

Comments