Aliyekuwa
golikipa ya Simba na timu ya taifa, Idd Pazi ‘Father’, akipokea kadi ya
uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutoka kwa katibu wa
chama hicho mkoa wa Ilala kichama, Peter Chacha, baada ya kujiunga na chama
hicho, katika hafla fupi iliyofanyika Gongo la Mboto, Dar es Salaam , jana. (Na Mpiga Picha Wetu)
Comments
Post a Comment