WAANDISHI NA WAHARIRI WAPIGWA MSASA KUHUSU UCHAGUZI WA TFF

Wahariri na Waandishi wa Habari zaidi ya 40 wameshiriki kwenye semina kuhusu Kanuni za Uchaguzi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyofanyika leo (Januari 16 mwaka huu).
Wawezeshaji katika semina hiyo iliyofanyika ofisi za TFF walikuwa Kamati ya Uchaguzi ya TFF iliyoongozwa na Mwenyekiti wake Deogratias Lyato na Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah. Pichani anayezungumza ni Lyato katikati, kushoto Osiah na kulia Hamidu Mbwezeleni, Makamu Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi ya TFF.


Washiriki wakisikiliza kwa makini


Washiriki


Washiriki

Comments