Kamati ya Utendaji ya Simba imepitia na kuidhinisha majina
ya wajumbe wa kamati mbalimbali za klabu lengo likiwa kuiboresha klabu na pia
kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom na michuano ya kimataifa
ambayo Simba inashiriki mwaka huu.
Mwenyekiti wa Simba, Mhe, Ismail Aden Rage, anawapongeza
wote walioteuliwa kwa ajili ya kazi hii na kuwatakia mafanikio mema katika
kuijenga klabu ili iwe ya kisasa kama walivyo
wajumbe wenyewe.
Uteuzi huu wa wajumbe unaanza mara moja na wenyeviti wa
kamati hizo wamepewa nguvu ya kuitisha vikao vya kamati zao mapema
iwezekanavyo.
KAMATI YA UFUNDI
1. DAMIAN
MANEMBE-MWENYEKITI
2. IBRAHIM
MASOUD-MAKAMU MWENYEKITI
3. CRESCENCIUS
MAGORI
4. KHALID ABEID
5. SAID TULLY
6. DR. KATEGILE
7. ZAMOYONI
MOGELA
8. JOHN WILLIAM
(DEL PIERO)
9. YUSUFU MACHO
10. JEFF LEA
11. BITA JOHN
12. SHABAAN BARAZA
KAMATI YA FEDHA
1. GEOFREY
IRICK NYANGE (MWENYEKITI)
2. RAHMA AL
KHALOOS-MAKAMU MWENYEKITI
3. FRANCIS WAYA
4. ZITTO KABWE
5. JUMA NKAMIA
6. RUGE
MUTAHABA
KAMATI YA MASHINDANO
1. SWEDY
MKWABI-MWENYEKITI
2. SAID
PAMBA-MAKAMU MWENYEKITI
3. SELEMANI
ZEDDY. (MB)
4. JERRY YAMBI
5. IDDI KAJUNA
6. CHAUREMBO
7. GERLAD
LUKUMAY
8. HABBIB NASSA
9. BUNDALA
KABULWA
10. CHARLES
HAMKAH
11. SAID RUBEYA
12. ABDULFATAH
SALUM (SAPHIRE)
13. HATIBU MWINYI
(BUSTA)
14. ABDUL MSHANGAMA
15. HUMPHREY
ZEBEDAYO
16. MAJALIWA
MBASSA
17. SULEIMAN
ZAKAZAKA
18. KESI MOHAMED
RASHID
19. MOHAMED ISSA
MBENA
KAMATI YA PROGRAMU ZA VIJANA
1. IBARHIM
MASOUD –MWENYEKITI
2. RUGE
MUTAHABA-MAKAMU MWENYEKITI
3. JOSEPH
ITANG’ARE-MJUMBE/MLEZI
4. WILFRED
KIDAU
5. MOHAMED
ABDALLAH
6. SAID TULLY
7. CANISIUS
MASOMBOLA
8. HAMIS MRISHO
9. DAMAS
NDUMBARO
10. TALIB HILAL
Comments
Post a Comment