Mgeni Rasmi, Ridhwan Kikwete akizungumza machache katika mkutano mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) uliofanyika katika Hoteli ya Kiromo, Bagamoyo
Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando akizungumza machache kwenye mkutano huo
Wajumbe Dina Ismail na Ibrahim Bakari
Ridhwan katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Taswa
Wajumbe wa Taswa, Mohammed Akida na SAleh Ally
WAkujmbe wa Taswa wakibadilishana mawazo na mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi aliyekuja kushuhudia mchezo baina ya Taswa Fc na Maveteran wa Bagamoyo katika uwanja wa Mwanakelenge.
Wahamasishaji nao hatukukosekana kuwashangilia wenzetu waliokufa kiume
Baadhi ya Wajumbe wa Taswa akiwemo Ofisa Habari wa TFF, Bonifacw Wambura Kulia na Benny Kiwsaka Katikati
Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando akizungumza machache kwenye mkutano huo
Wajumbe Dina Ismail na Ibrahim Bakari
Ridhwan katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Taswa
Wajumbe wa Taswa, Mohammed Akida na SAleh Ally
WAkujmbe wa Taswa wakibadilishana mawazo na mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi aliyekuja kushuhudia mchezo baina ya Taswa Fc na Maveteran wa Bagamoyo katika uwanja wa Mwanakelenge.
Wahamasishaji nao hatukukosekana kuwashangilia wenzetu waliokufa kiume
Comments
Post a Comment