Mabondia Thomas Mashali wa Tanzania (kushoto) na BenardMcociech wa Kenya wakitunishiana Misuli baada ya kupima Uzito Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao wa Ubingwa wa Afrika Mashariki utakaofanyika leo katika ukumbi wa Frends Corner Manzese picha na www.superdboxing coach.blogspot.com |
Comments
Post a Comment