SHIRIKISHO la soka barani Afrika (CAF) limetoa ufadhili kwa
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) katika kurabati kituo chake cha michezo
kilichopo Karume jijini Dar es Salaam.
Tayari zimeshatangaza tenda kwa makampuni
mbalimbali ili kujitokeza kwa ajili ya kuendesha mradi huo kabla ya bodi husika
kukaa na kuteua kampuni itakayofanya ukarabati huo.
Comments
Post a Comment