NEW
YORK, Marekani
MWIMBAJI
Amber Rose amethibitishia umma maneno yaliyokuwa yakizagaa kuwa amefunga ndoa
na rapa Wiz Khalifa kuwa yanaukweli.
Alisema kuwa
ukiondoa kuwa huyu ni baba mtarajiwa wa mwanangu pia ni mume wangu!!
“Tumefunga
ndoa ya siri na kwa sasa ni mtu na mume wake….
Nimekuwa kwa
sasa ni mpenzi wa kula ‘ice cream’ aina ya Ninja Turtles kwa sababu mume wangu
ni mpenzi wa ice cream wa aina hiyo.”
Comments
Post a Comment