NEW
YORK, Marekani
RAPA
50 Cent amefanikiwa kushinda kesi yake iliyokuwa ikimkabili akidaiwa kuiba wazo
la mtu katika utengenezaji wa albamu na filamu ya jina ‘Before I Self Destruct’.
Kesi
hiyo iliyokuwa imeungulia na Shadrach Winstead ayekuwa akidai kwamba msanii
huyo aliiba wazo lake alilokuwa amelitoa kwenye kitabu chake kinachojulikana
kama ‘The Preachers Son – But the Streets Turned Me into a Gangster’.
Alikuwa
akidai kuwa 50 aliamua kuchukua hadithi yake na kuiweka katika muziki na filamu
kutoka katika kitabu hicho.
Madai hayo ya Winstead yalitupwa na jaji wa
mahakama ya mjini hapa, Stanley Chesler na kudaiwa kwamba hayakuwa na mashiko
Comments
Post a Comment