USIKOSE MKESHA WA X-MASS NDANI YA KIOTA CHA THAI VILLAGE LEO USIKU NA SKYLIGHT BAND.


Kikosi kazi cha SKYLIGHT Bendi kikiongozwa na Joniko Flower kuporomosha burudani mwishoni mwa juma katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam. USIKOSE Mkesha wa X-MASS na SKYLIGHT BAND leo Usiku kuanzia saa tatu pale pale Thai Village.
Diva's wa SKYLIGHT Band Aneth Kushaba AK 47 sambamba na Mary Lucos wakishambulia jukwaa.
SONY MASAMBA sambamba na Aneth Kushaba AK47 wakipiga shoo ya nguvu.
Muziki umenoga mpaka wengine waliamua kuvua mashati.
Pichani juu na chini ni Binti wa Kiafrika mrembo aliyeumbika kisawa sawa.... akimwaga radhi mbele ya kadamnasi kuonyesha umahiri wake wa kuzungusha nyonga wakati nyimbo ya Carolina ikiimbwa na kuwaacha hoi wengine wote waliokuwa kwenye dancing floor.
Sebene limekolea....asiyekuwa na mwana aeleke jiwe.
It's Reggae and Ragga time....Aneth Kushana AK 47 akionyesha ufundi wake.
Uzao wa BSS Mary Lucos akielekea kwenye viti kunyanyua mashabiki wake.
Mashabiki wa SKYLIGHT Band wakijimwaga kwa dancing floor.
Pichani Juu na Chini Umati wa Mashabiki wa SKYLIGHT Band wakizungusha mduara wa mbele aende mbele na wa nyuma arudi nyuma.
Pichani Juu na Chini ni Papa Justin Ndege na mdau wakiwatunza wapiga vyombo na waimbaji wa SKYLIGHT Bendi baada ya kuguswa na uimbaji pamoja na upigaji wa vyombo.
Mario Mpingirwa akionyesha jinsi gani anavyopenda kinywaji chake.
Papa Justine Ndege ( wa pili kulia) akiwa na marafiki wa karibu na mashabiki wa SKYLIGHT Bendi.
Wadau wa Makumbusho Kijitonyama, Yusuph (kushoto) huku Eric Ndalu akiwa na mai waifu.
Mdau Lussa ( wa pili kulia) alitia timu SKYLIGHT Band kula bata na marafiki zake.
One and Only Mekydiva Mash Macha (katikati) akishow love na Blogger King Kif, huku Jacqueline Mzindakaya akiipa mgongo Camera yetu.
Mdau Mwika (wa kwanza kulia) bila kukosa akishow love na marafiki zake.
Mashabiki nambari One wa Skylight Band wakishow love.
Models wakitega pozi kwa Kodak. Looking Fly Girls.
Hata shida na mtu kwa raha zake...Kuna msemo unasema 'raha jipe mwenyewe'.
King Kif na Mdau Godwin Gondwe a.k.a Double G alipita pande hizi kuchungulia burudani ya Sky Light Bendi ikoje.
Diva's wa SKYLIGHT Band Aneth Kushaba AK47 na Mary Lucos baada ya kupiga show ya nguvu walipata Ukodak.

Comments