Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Jambo Leo, Julius Kihampa akimvisha pete ya ndoa Mtangazaji Shirika la Utangazaji la Taifa, Grace Kingarame wakati wa kufunga pingu za maisha kwenye Kanisa la Anglikana la St Albano Dar es Salaam.
Grace Kingarame akimvisha pete mumewe Julius Kihampa mbele ya Padi Cosmas Mhina Kihampa na mkewe Grace Kingarame Ibada ya kuwafungisha ndoa ikiendelea Kihampa akimvua shela la kichwani Grace Kihampa akila kiapo cha uaminifu cha ndoa mbele ya mkewe Grace. Kulia ni Patroni wake Chacha Maginga na Matroni Levina Grace Kingarame akila kiapo cha uaminifu cha ndoa mbele ya mumewe na kanisa Padri Cosmas Mhina akiwafungisha ndoa Kihampa na Grace Kwaya ya kanisala hilo ikitumbuiza Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakishuhudia ndoa hiyo ikifungwa Baadhi ya wapambe wa harusi hiyo Padri akiwaelekeza jinsi ya kupiga saini hati ya ndoa Kihampa na Grace wakikabidhiwa hati za ndoa Wanandoa hao wakiwa na furaha huku wakionesha hati za ndoa yao Bwana harusi Julius Kihampa akiwa amejiinamia akitafakari jinshi ya kukabiliana na maisha mapya ya ndoa Maharusi wakitoka kanisani baada ya kufunga ndoa Kweli wanameremeta Maharusi wakipanda kwenye Lemousine lililoandaliwa kwa ajili yao Msafara wa maharusi hao ukiondoka kanisani kuelekea Coco Beach. Kamanda wa Matukio Blog inaahidi kuendelea kuwaletea matukio zaidi ya harusi hiyo, wakiwa Beach na Reception. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA) |
Comments
Post a Comment