Uhuru Suleiman
Hatimaye beki mahiri wa azam fc Joseph amerejea ktk
klabu yake ya zaman,simba sc.
Aidha
kiungo mahiri wa simba,uhuru suleiman naye ametua azam fc baada ya timu hizo
kubadilishana wachezaji.
Habari za
uhakika kutoka Azam zinaeleza kwamba zoezi hilo limekamilika baada ya
kukamilisha mchakato na tayari uhuru ameshaanza mazoezi na wenzake.
Kiongozi huyo aliongeza kuwa owino ambaye kwa
sasa yupo mapumzikoni kwao kenya ätajiunga na wekundu hao pindi atakaporejea nchini.
Ikumbukwe kuwa owino alipata Kuichezea simba
miaka miaka miwili iliyopita kabla ya kuumia goti na kwenda kujitibia kwao
ndipo azam ilipomsajili na kumpeleka india kwa matibabu zaidi.
Katika hatua nyingine simba ipo katika
mazungumzo na azam fc ili kuweza kumchukua kwa mkopo nyota wake,agrey morris
ambaye kwa sasa anatumikia adhabu ya kusimamishwa kwa muda usiojulikana kwa
madai ya kuihujumu timu hiyo.
Simba
ambayo ilimaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu bara ikiwa nafasi ya tatu kwsa
sasa ipo katika kuimarisha kikosi chake
Comments
Post a Comment