NDOA YA TFF, VODACOM KUFUNGWA J'4


Mkataba wa udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambayo itadhaminiwa tena Vodacom utasainiwa Jumanne (Septemba 11 mwaka huu) kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
 Taarifa rasmi juu ya muda wa kusaini na pande zitakazoshuhudia hafla hiyo itatolewa hivi karibuni.
 
Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

Comments