Skip to main content
VILABU VYATAKIWA KUWASILISHA HATI ZA VIPIMO VYA AFYA (MEDICAL TEST) VYA WACHEZAJI
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF)limezitaka klabu zote zilizowasilisha maombi ya usajili kwa wachezaji wao kuwasilisha na nakala za hati za vipimo vya afya (medical certificate).
Ofisa habari wa TFf, Boniface Wambura amesema kwamba zoezi hilo ni kwa mujibu wa kanuni za usajili za shirikisho hilo.
Comments
Post a Comment