WAGOMBEA wanne wanaowania uongozi katika klabu Yanga
wameondolwa katika kinyang’anyiro hicho.
Habari zilizopatikana jioni ya leo toka
kamati ya uchaguzi wa Yanga zinaeleza kwambawagombea hao wameonekana kuwa na
dosari zilizobainiwa na kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka Tanznia (TFF).
Wagombea
hao ni pamoja na Sarah Ramadhan anayewania nafasi ya Uenyekiti pamoja na Zuberi
Katwila, Waziri Gao na Ramadhan Kampira wanaowania nafasi ya ujumbe wa kamati
ya utendaji.
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika julai 15 katika ukumbi wa
Diamond jubilee jijini dare s Salaam ambapo wagombea wwenye sifa wanaendelea na
kampeni.
Comments
Post a Comment