TANGAZO:NAFASI ZA MASOMO


Kwa wale wanaohitaji kujiunga na elimu ya juu nchini Ujerumani. 
Kuanzia B.A,Bsc,M.A mpaka Phd Watanzania tumieni nafasi hizi,chuo kinapokea wanafunzi hata kwa vijana wa Kitanzania wenye kumaliza kidato cha sita wana nafasi ya kujiunga na chuo hiki,maelezo zaidi,
Tafadhali wasiliana na anuani hii hapa chini:

 International Student Office
 Carl von Ossietzky Universität Oldenburg
 Ammerländer Heerstr. 114-118,
 26129 Oldenburg
 Germany
 
fax    : +49(0)441 7982461
 
Pia fomu za maombi zinapatikana online katika link hii chini:

Comments